Rais Pezeshkian
IQNA-Rais wa Iran, Masoud Pezeshkian, amesisitiza kuwa iwapo Wairani wataendelea kushikamana na misingi ya Imam Khomeini (Mwenyezi Mungu Amrehemu), hakuna nguvu yoyote ya kigeni itakayoweza kuushinda mfumo wa Jamhuri ya Kiislamu wala kuwatatiza Waislamu wengine.
Habari ID: 3480786 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/06/04
IQNA – Rais wa Iran, Masoud Pezeshkian, amesema kuwa mshikamano wa kweli kati ya mataifa ya Kiislamu utayafanya kuwa na nguvu zaidi mbele ya maadui.
Habari ID: 3480702 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/18
Rais Masoud Pezeshkian
IQNA- Rais Masoud Pezeshkian wa Iran amesisitiza uwezo wa bara la Afrika na ulazima wa kuwepo ushirikiano na kwamba, IIran iko tayari kupanua ushirikiano wake na bara la Afrika katika nyanja zote.
Habari ID: 3480602 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/27
IQNA – Rais wa Iran Massoud Pezeshkian amesema umoja wa Waislamu kuwa msingi wa amani na maendeleo katika eneo hilo.
Habari ID: 3480558 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/18
Rais Pezeshkian wa Iran katika mazugumzo na Bin Salman wa Saudia
IQNA- Rais Masoud Pezeshkian wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amefanya mazungumzo ya simu na Mrithi wa Kiti cha Ufalme wa Saudia na kusisitiza kwa kusema: "Nina imani kwamba kama nchi za Kiislamu zitafanya kazi kwa pamoja, zinaweza kuleta usalama na ustawi bora katika eneo hili."
Habari ID: 3480489 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/04
IQNA- Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametuma salamu za pongezi kwa viongozi wa nchi za Kiislamu na Waislamu duniani kote kwa mnasaba wa kuwadia kwa Sikukuu Tukufu ya Idul Fitr.
Habari ID: 3480471 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/30
IQNA- Rais Masoud Pezeshkian wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametoa wito kwa wananchi wa Iran kuonyesha umoja na mshikamano wao wakati wa Siku ya Kimataifa ya Quds, akisisitiza kwamba kujitokeza kwa wingi wananchi katika siku hii kutaonyesha msaada usiotetereka wa Jamhuri ya Kiislamu kwa malengo ya ukombozi wa Palestina.
Habari ID: 3480446 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/27
IQNA – Rais wa Iran, Masoud Pezeshkian, ametoa wito wa kuziba pengo kati ya maarifa ya Qur'ani na utekelezaji wake katika jamii.
Habari ID: 3480387 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/17
IQNA- Rais Masoud Pezeshkian wa Iran sambamba na kuwapongeza viongozi na mataifa ya Kiislamu kwa mnasaba wa kuwadia mwezi mtukufu wa Ramadhani, ametoa mwito kwa nchi za Kiislamu kuutumia mwezi huu wa baraka kama chachu ya kuimarisha umoja, mshikamano na ushirikiano miongoni mwao.
Habari ID: 3480297 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/03
Diplomasia
IQNA- Rais Masoud Pezeshkian ameeleza kuwa mtazamo na hatua za kivitendo za Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ni za kueneza amani na kudumisha usalama katika ukanda huu na baina ya nchi zote za Kiislamu; na ametaka kuwepo ushirikiano mkubwa zaidi kati ya Iran na Oman katika uwanja huo.
Habari ID: 3479977 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/30
Mazungumzo ya Dini
IQNA-Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika salamu zake za Krismasi kwa Papa Francis, amesema: Kusherehekea kuzaliwa kwa Nabii Isa Masih (AS) ni fursa ya kiroho ya kukumbusha Amri za Mwenyezi Mungu na mafundisho ya thamani ya manabii wote kwa ajili ya kutimiza haki, amani, na uhuru.
Habari ID: 3479954 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/26
Diplomasia ya Kiislamu
Rais Masoud Pezeshkian wa Iran amesisitiza ulazima wa kuwepo umoja kati ya mataifa ya Kiislamu, na kutilia mkazo udharura wa kuchukuliwa hatua za pamoja ili kukabiliana na uchokozi wa utawala wa Israel.
Habari ID: 3479923 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/19
Diplimasia ya Kiislamu
IQNA- Rais Masoud Pezeshkian wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran yuko nchini Misri kuhudhuria mkutano wa kilele wa Jumuiya ya Nchi za Kiislamu Zinazoendelea, D-8 - utakaofanyika Alhamisi.
Habari ID: 3479919 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/18
Diplomasia
IQNA-Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amefanya mazungumzo ya simu na Amir wa Qatar na kusisitiza kuwa, kuenea machafuko na vitendo vya kigaidi nchini Syria si kwa manufaa ya nchi yoyote ya eneo hili, hivyo ni wajibu wa nchi zote kushirikiana kupambana na vitendo hivyo vya kigaidi.
Habari ID: 3479847 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/03
Diplomasia
IQNA- Rais wa Masoud Pezeshkian wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema: "Iwapo nchi za Kiislamu zitaungana zenyewe, utawala wa Kizayuni wa Israel hatathubutu kufanya jinai kirahisi na Marekani na nchi za Magharibi pia hazitaunga mkono utawala huo."
Habari ID: 3479608 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/17
Arbaeen
IQNA - Rais wa Iran Masoud Pezeshkian amesema kuwa safari ya Arbaeen ya mamllioni ya ni ishara ya umoja kati ya mataifa na dini.
Habari ID: 3479562 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/08